Mycoplasma Genitalium: Mambo muhimu kuhusu ugonjwa wa zinaa wa MGen unaokuwa sugu na kuzua wasiwasi duniani

Wataalamu maeneo mbalimbali duniani, wametoa tahadhari kuhusu ugonjwa mpya wa zinaa ambao unaonesha dalili za kutosikia dawa na kuzua wasiwasi sawa na ulioibuliwa na ugonjwa wa Ukimwi. Ugonjwa huo unafahamika kitaalamu kama mycoplasma genitalium, na ufupisho wake kwa Kiingereza ni MGen na wakati mwingine umekuwa ukifupishwa tu kama MG. Ugonjwa huo More...

Sababu zinazochangia meno ya watoto kutoboka na kuoza
Afya ya kinywa ni muhimu hata kwa mtoto mchanga ambaye hana meno kinywani mwake. Ingawa meno ya mtoto mchanga huanza kuonekana miezi sita baada ya kuzuliwa, mzazi anashauriwa kuanza kusafisha kinywa chake siku More...

Utafiti mpya wasema watu zaidi ya milioni 300 wanabeba virusi vya Hepatitis B duniani
Utafiti mpya uliotolewa kwenye jarida la Uingereza la “The Lancet” umeonesha kuwa mwaka 2016 watu milioni mia 3 hivi wanabeba virusi vya Hepatitis B duniani. Watafiti kutoka Marekani wametumia takwimu More...

Ulaji wa njugu ni faida kwa afya ya uzazi wa wanaume
Ulaji wa njugu mara kwa mara kunaweza kuboresha afya ya mbegu za kiume.Utafiti umeeleza Wanaume waliokula njugu za lozi (almond),Hazeli(hazelnuts) na Jozi(walnuts) kwa kiasi cha kujaza kiganja cha mkono kila siku More...

Mkurugenzi wa UNAIDS asema China inafanya kazi muhimu katika kupambana na UKIMWI
Mkurugenzi mtendaji wa Shirika la Kupambana na Ugonjwa wa Ukimwi la Umoja wa Mataifa UNAIDS Michel Sidibe amesema China inafanya kazi kubwa katika kupambana na ugonjwa huo. Sidibe amesema hayo kwenye makao makuu More...

Ukosefu wa vimelea vya magonjwa chanzo cha saratani ya utotoni
Ukosefu wa vimelea vya magonjwa ndicho chanzo saratani miongoni mwa watoto, kwa mujibu wa wanasayansi wakuu nchini Uingereza. Saratani ya damu inayofahamika kama lymphoblastic leukaemia inaathiri mmoja kati ya More...

Dawa ya kutibu mafua inatafitiwa
Tiba ya Mafua ya kawaida huenda ikapatikana . Wanasayansi katika chuo cha Imperial College London waanarifu kuwa tiba yake itahusisha uzuiaji wa protini muhimu katika seli za mapafu ambazo virusi vya mafua kwa More...

Shinikizo la juu la damu husababisha upofu na kifo
Shinikizo la juu la damu ni miongoni mwa maradhi yanayoendelea kuwapata watu wengi nchini na duniani kwa ujumla. Kila siku idadi ya watu wenye maradhi haya ambayo yapo kwenye kundi la yasiyo ya kuambukiza huongezeka. More...

Utafiti waonesha kulala mchana kwa zaidi ya saa moja ndio chanzo cha kisukari
Kusinzia mchana kwa zaidi ya saa moja ni dalili ya kisukari aina ya pili (type 2 diabetes), utafiti unasema. Utafiti huo wa kwanza wa aina yake uliofanywa na wataalamu kutoka Chuo Kikuu cha Tokyo, Japan unabainisha More...

Sababu zinazochangia meno ya watoto kutoboka na kuoza
Afya ya kinywa ni muhimu hata kwa mtoto mchanga ambaye hana meno kinywani mwake. Ingawa meno ya mtoto mchanga huanza kuonekana miezi sita baada ya kuzuliwa, mzazi anashauriwa kuanza kusafisha kinywa chake siku More...